Timu ya taifa ya Wanawake ya Kenya (Harambee Starlets)
tayari imewasili kisiwani Zanzibar ikiwa na kikosi cha wachezaji 17 pamoja na
viongozi 9 tayari kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Twiga Stars siku ya Jumapili.
Mchezo huo wa kirafiki unatarajiwa kuanza majira ya
saa 10 kamili jioni katika Uwanja wa Amani kisiwani Zanzibar, ambapo viingilio
vya mchezo huo itakua ni shilingi elfu mbili kwa jukwaa kuu, na shilingi elfu
moja kwa mzunguko.
0 COMMENTS:
Post a Comment