MAREHEMU MURO |
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetuma salam za rambi rambi
kwa familia ya Muro, kufutia kifo cha Mzee Cornel Muro kilichotokea mwishoni
mwa wiki jijini Dar s salaam na mazishi kufanyika Machame mkoani Kilimanjaro.
Katika salamu zake za rambirambi kwa familia ya marehemu Muro, TFF
imewapa pole wafiwa, ndugu jamaa na marafiki na kusema wako pamoja katika
kipindi hiki cha maombelezo na kuomba mwenyezi Mungu awajilie nguzu wafiwa
Marehemu Cornel Muro ni baba mzazi wa Ofisa Habari wa klabu ya Young
Africans, Jerry Muro.
0 COMMENTS:
Post a Comment