Manchester United imeanza
Ligi Kuu England kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tottenham Hotspurs.
Shukurani kubwa, Man United inabidi
wazitoe kwa beki Walker wa Spurs ambaye alijifunga wakati akipambana kumzuia
Wayne Rooney asifunge baada ya krosi safi ya Memphis Depay.
Licha ya kuwa nyumbani, Old
Trafford Man United ilizidiwa katika kipindi cha kwanza kabla ya kuzinduka
mwishoni.
Kipindi cha pili, mwanzoni
ikapambana vilivyo kabla ya kuzidiwa tena katika kipindi cha pili mwishoni.
VIKOSI VILIVYOKUWA:
VIKOSI VILIVYOKUWA:
Manchester United iUnited (4-3-3): Romero;
Darmian, Smalling, Blind, Shaw; Carrick, Memphis, Schneiderlin; Mata, Rooney,
Young.
Subs: Johnstone,
Valencia, McNair, Schweinsteiger, Herrera, Pereira, Hernandez.
Tottenham (4-2-3-1):
Vorm; Walker, Alderweireld, Vertonghen, Davies; Bentaleb, Dier; Chadli,
Eriksen, Dembele; Kane.
Subs: Lloris,
Trippier, Wimmer, Alli, Carroll, Lamela, Mason.
0 COMMENTS:
Post a Comment