Mechi hiyo inapigwa usiku kwenye Uwanja wa Old Trafford jijini Manchester.
Man United inatakiwa
kufanya vizuri katika mechi hizo mbili za
ugenini na nyumbani ili iingie kupata nafasi ya kucheza makundi ya Ligi
ya Mabingwa Ulaya.
Mechi ya pili ambayo
itakuwa ugenini, Manchester United itakutana na wenyeji wake Agosti 26 kwenye
dimba la Jan Breydel.
0 COMMENTS:
Post a Comment