Bosi wa Manchester
United, Ed Woodward ametua jijini Barcelona kumalizana na FC Barcelona kutumia
dau la pauni milioni 22.
Jana Pedro aliichezea
Barcelona katika mechi ya pili ya Athletico Bilbao iliyomalizika kwa sare ya
mabao 1-1.
Taarifa zinaeleza kwamba
Pedro amekubali kujiunga na Manchester United kwa kuwa anaonekana hana furaha
na Kocha Louis Enrique.
0 COMMENTS:
Post a Comment