AYEW AKIPAA HEWANI KUFUNGA BAO |
Andre Ayew na Gomis, kwa mara nyingine kila mmoja amefunga bao na
kuiwezesha Swansea kushinda mabao 2-0 dhidi ya Newcastle waliokuwa pungufu
baada ya beki wake Janmaat kulambwa kadi nyekundu.
Ayew ambaye ni mtoto wa gwiji la soka Afrika, Abeid Pele kutoka
Ghana anafunga bao katika mechi yake ya pili katika Ligi Kuu England.
Swansea (4-2-3-1): Fabianski 6; Naughton 7,
Fernandez 6.5, Williams 7, Taylor 6.5; Cork 6.5, Shelvey 7.5; Ayew 7.5 (Dyer
71, 6), Sigurdsson 6.5, Montero 8 (Routledge 76); Gomis 7.
Subs not used: Nordfeldt, Eder, Rangel,
Bartley
Booked: Ayew, Naughton
Scorers: Gomis 9, Ayew 52
Newcastle (4-2-3-1): Krul 6; Janmaat 3.5, Mbemba 5, Coloccini
5.5, Haidara 5; Anita 5.5, Colback 6; Sissoko 6.5 (Taylor 46, 5.5), Wijnaldum
5.5, Obertan 6 (Mitrovic 83); Cisse 5 (Aarons 54, 6).
Subs not used: Williamson, Perez,
Tiote, Darlow
Booked: Janmaat, Mitrovic
Sent off: Janmaat
Referee: Mike Jones
Attendance: 20,678
Man of the Match: Jefferson Montero
AAAHHH! NGUMU KUMESA... |
0 COMMENTS:
Post a Comment