Soka soma asee! Borussia
Dortmund nusura waonekane ni vibonde tena msimu huu.
Maana ndani ya dakika 22
walikuwa wameishapigwa 3-0 na Odds Ballklubb kutoka Norway. Hii ni mechi ya
michuano ya Kombe la Europa.
Waliokuwa uwanjani,
waliokuwa wanatazamana mechi hiyo cjana kwenye runinga, wakaamini wakongwe hao
wanakula 1-0.
Soka lina mambo yake,
hauwezi kuamini mambo yalibadilika na Dortmund kusawazisha zote na kuongeza
moja, mwisho wakaibuka na ushinda wa mabao 4-3.
Marco Reus, Jakub
Blaszczykowski naLukasz Piszczek ndiyo waliibuka mashujaa kwa kupiga mabao hayo
manne na kuikoa Dortmund kwenye Europa League.
0 COMMENTS:
Post a Comment