August 20, 2015


Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kupitia kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi Aloyce Komba imeitisha majalada ya kamati ya uchaguzi ya TEFA na kamati ya uchaguzi ya DRFA baada ya kupokea malalamiko na rufaa kutoka kwa wagombea.
Kamati ya Uchaguz ya TFF imeyaomba majalada hayo ili ijiridhishe na kuona haki inatendeka kwa wagombea wote na baadae tarehe mpya ya uchaguzi itatolewa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic