September 20, 2015




Mabao mawili ya Salim Mbonde na Said Bahanuzi yameiwezesha Mtibwa Sugar kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.


Mtibwa Sugar imeshinda dhidi ya wageni wake Ndanda FC iliyosafiri hadi Manungu, Turiani.

Bao pekee la wageni Ndanda limefungwa na kiungo wa zamani wa Yanga na Simba, Kiggi Makasi

Kwa Ushindi huo, Mtibwa Sugar sasa imefikisha pointi 9 sawa na Simba, Yanga na Azam FC ambazo zote zimeshinda mechi zote tatu za mwanzo za ligi.


1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic