Aina mpya ya ushangiliaji ambayo imechukua umaarufu hivi punde ni ile ya kuonyesha saa mkononi.
Kiiza amekuwa akifanya hivyo baada ya
kufunga mabao matatu, hat trick dhidi ya Kagera Sugar iliyolala 3-0 kwa Simba
katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Kutokana na Kiiza kushangilia hivyo
mara tatu, shangilia hiyo tayari imechukua umaarufu mkubwa miongoni mwa
mashabiki wa Simba waliokuwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mashabiki baadhi mitandaoni na pale
uwanjani wamenza kuonyesha kuhusiana na aina hiyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment