Kiungo
wa pembeni wa Crystal Palace, Wilfried Zaha amekubali kutoa pauni milioni 2.5
na kununua jumba la kisasa kabisa.
Jumba
hilo lilikuwa linamilikiwa na mmlikiki wa zamani wa Crystal Palace, Ron Noades
ambaye aliafariki mwaka 2013 kutokana na ugonjwa wa kansa.
Zaha,
ambaye wakati akiwa Man United alikuwa akipokea mshahara wa pauni 35,000 kwa
wiki anatarajia kuingia ndani ya jumba hilo siku chache zijazo.
Licha
ya kuwa na eneo kubwa sana mbele na nyuma, jumba hilo lina vyumba saba vya kulala, vyoo na mabafu sita,
jumba la filamu na mwonekano wake ni wa kuvutia sana hasa ndani.
0 COMMENTS:
Post a Comment