Angalau Kocha Jose Mourinho anaweza kujisifia kwamba Chelsea imepata sare ya bila mabao dhidi ya Dynamo Kiev ikiwa ugenini.
Lakini analazimika kufanya kazi ya ziada kujikwamua kutoka katika nafasi ya nne kwenye kundi lao katika michuano hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Dynamo Kiev: Shovkovskiy, Danilo Silva, Khacheridi, Dragovic, Vida,
Sydorchuk, Rybalka, Yarmolenko, Buyalsky (Garmash), Gonzalez, Kravets (Junior
Moraes)
Subs: Rybka, Veloso, Antunes, Petrovic, Gusev.
Booked: Buyalsky
Chelsea: Begovic, Zouma, Cahill, Terry, Azpilicueta, Matic,
Fabregas (Oscar), Ramires, Hazard, Willian, Costa.
Subs: Blackman, Baba, Falcao, Mikel, Traore, Kenedy
Booked: Zouma.
Referee: Damir Skomina
0 COMMENTS:
Post a Comment