October 27, 2015


Kiungo mkongwe, Frank Lampard amepeta tuzo ya heshima kutoka kwa familia ya kifalme ya Uingereza.


Tuzo hiyo maarufu kama OBE yaani Order of British Empire ambayo hutolewa kwa Waingereza waliotoa mchango mkubwa katika nyanja mbalimbali.

Lampard ambaye sasa anacheza sola la kulipwa katika klabu ya New York ya nchini Marekani aliongozana na familia yake kwenda kupokea tuzo hiyo aliyokabidhiwa kwa heshima kubwa.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic