....SIJUI ILIKUWAJE HAPA! |
Soka
ina burudani yake aisee, kama jana ulipata nafasi ya kwenda kwenye Tamasha la
Kandanda Day utakubaliana nami.
Timu
mbili za ushindani wa kindugu, timu Ismail na timu Dizzo zilichukuana vikali na
kutoa burudani.
Mwisho
washindi, Ismail wakashinda. Lakini mmoja wa memba wao, Nassor Bin Slum, yule
mdhamini maarufu wa mambo ya michezo ambaye kampuni yake ya Bin Slum Tyres Ltd
inayoongoza kwa kuuza matairi na betri za magari, naye alitia for a.
Maana
alikuwa mbishi huyo, kila wakati analalamika, anamlalamikia mwamuzi, basi ili
mradi kuwachanganya wenzake.
Kweli
mbinu zake zilifanikiwa, timu yake yaani Team Ismail ikafanikiwa kuibuka na
ushindi. Eeeeeh!
.....HAPA LAZIMA NI TIMBWILI NA MWAMUZI.... |
Hata hivyo, mwisho wa tamasha, alipewa tuzo kutokana na kuonyesha mchango wake na kudhamini tamasha hilo ambalo sasa linazoa umaarufu!
0 COMMENTS:
Post a Comment