October 11, 2015



Mshambuliaji Hamisi Kiiza ambaye alikuwa majeruhi anaungana na Simba katika safari ya Mbeya.

Simba inafunga safari kwenda kuivaa Mbeya City katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayipigwa Jumatano.

Kiiza ni kati ya wachezaji 22 wa Simba watakaosadiri hadi Mbeya kwa ajili ya mechi hiyo.
Mbeya City itakuwa ikicheza kwa mara ya kwanza bila ya kocha wake mkuu, Juma Mwambusi.


Mwambusi amejiunga na Yanga na sasa atakuwa Kocha Msaidizi akichukua nafasi ya Charles Boniface Mkwasa ambaye sasa ni Kocha Mkuu wa Taifa Stars.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic