Kipa Keylor Navas taratibu
anaanza kuchukua nafasi na kuwasahaulisha mashabiki wa Real Madrid kuhusiana na
kipa mkongwe, Iker Casillas.
Navas sasa amecheza
mechi nne bila ya kuruhusu bao hata moja huku Madrid ikiendelea kutoa vipigo.
Kipa huyo raia wa Costa
Rica yuko katika kiwango kizuri na ameanza kuwa gumzo kwamba kweli sasa anaweza
kuvaa viatu vya Casillas.
0 COMMENTS:
Post a Comment