Mwingereza Tyson
Fury anayekutana na kigogo kutoka Ukrain, Wladimir Klitschko.
Pambano hilo
linapigwa leo kuanzia saa 3, saa za Afrika Mashariki yatakapoanza mapambano ya
utanguliza pale Dusseldorf nchini Ujerumani.
Pamoja hilo
limekuwa na kelele nyingi huku Furry ambaye hajawahi kupigwa akiahidi kufanya
yake na kuudondosha mbuyu huo.
0 COMMENTS:
Post a Comment