FARID |
Azam FC inalazimika kubadili mfumo wake, kwani winga wake Farid Mussa amepata timu
Denmark, hivyo anaondoka kwenda kufanya majaribio lakini kuna taarifa za kwamba atasajiliwa moja kwa moja.
“Anatakiwa akafanye majaribio lakini kutokana
na uwezo wake, naamini atasajiliwa moja kwa moja, hivyo hapa nina kazi ya
kubadili mfumo wa timu ili mambo yaende sawa.”
Kwa kawaida, Mussa hucheza winga ya kushoto
katika kikosi cha Azam na Taifa Stars, hivyo Hall kuelekea mechi dhidi ya Simba
Desemba 12, mwaka huu anatakiwa kubadili kitu fulani katika mfumo ili mambo
yaende.
0 COMMENTS:
Post a Comment