December 10, 2015


Mshambuliaji wa Arsenal, Olviere Giroud amepiga bao tatu, hat trick na kuiwezeusha Arsenal kuitwanga Olympiacos kwa mabao 3-0.


Ushindi huo umeikahikishia Arsenal ikiwa ugenini kuvuka kwenda hatua ya 16 bora ikitokea kundi F baada ya kufikisha pointi 9 kama Olympiacos lakini iko vizuri kwenye tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa. 

Nyingine iliyovuka kutoka katika kundi hilo ni Bayern Munich ya Ujerumani.

Olympiacos: 
Roberto, Elabdellaoui, da Costa, Siovas, Masuaku, Kasami, Milivojevic, Seba, Fortounis, Pardo, Ideye.
Subs: Kapino, Botia, Finnbogason, Dominguez, Salino, Hernani, Cambiasso.

Arsenal: 
Cech, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Ramsey, Flamini, Walcott, Ozil, Campbell, Giroud.
Subs: Ospina, Debuchy, Gibbs, Gabriel, Oxlade-Chamberlain, Chambers, Iwobi.
Referee: Nicola Rizzoli (Italy)










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic