Nyota wa Barcelona,
Lionel Messi amebeba tuzo ya mshambuliaji bora wa La Liaga.
Messi ameshinda tuzo
hiyo akiwaangusha washambuliaji wengine wawili alioingia nao fainali.
Cristiano Ronaldo wa
Real Madrid na Luis Suarez anayekipiga naye Barcelona, ndiyo walikuwa
wakichuana naye.
Messi akionekana
mtulivu katika tuzo hizo zilizofanyika jijini Barcelona, aliwashukuru wachezaji
wenzake kwa ushirikiano wa juu uliomuwezesha kutwaa tuzo hiyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment