January 8, 2016


Bakary Papa Gassana wa Gambia ameibuka kuwa mwamuzi bora wa soka barani Afrika kwa mwaka 2015.

Gassana mwenye beji ya Fifa ameibuka na ushindi huo wakati wa tuzo za Mwanasoka Bora wa Afrika zinazoendelea mjini Abuja, Nigeria.


Gassana amewapiku  waamuzi wengine mahiri wawili aliokuwa akichuana nao ambao ni Alioum wa Cameroon na Ghead Grisha- kutoka Misri.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic