February 18, 2016


YANGA WAKIPIGA TIZI KWENYE UWANJA WA GOMBANI

Na Mwandishi Wetu, Pemba
Yanga imefanya mazoezi yake ya mwisho leo  kwenye Uwanja wa Gombani mjini hapa.

Kikosi cha mabingwa hao wa Tanzania kimeweka kambi mjini hapa kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, keshokutwa Jumamosi.

Yanga iliwasili muda wa kama saa 10 hivi jioni na kufanya mazoezi ahadi saa 12 na nusu jioni.

Kocha Hans van der Pluijm amesema hayo ndiyo mazoezi ya mwisho kisiwani hapa.


Yanga inatarajia kuondoka kesho mchana kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya kambi ya siku moja kabla ya mechi dhidi ya Simba.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic