March 26, 2016


Algeria imeonyesha in uwezo wakushinda kwa kishindo baada ya kuichapa Ethiopia kwa mabao 7-1 katika mechi ya kuwania kufuzu kucheza Afcon.

Ikiongozwa na Riyad Mahrez, Algeria iliizidi kila kitu Ethiopia iliyokuwa ugenini na kuibuka na ushindi huo wa mabao 7-1.

Kama unakumbuka, Algeria iliwahi kutoa kipigo kikali cha mabao saba kwa Taifa Stars.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic