April 30, 2016


Ukitegemea shukurani katika mchezo wa soka utakufa na presha. Kocha Arsene Wenger ameifanyia Arsenal mambo mengi sana, ameiingia faida kubwa sana, lakini mashabiki wamemchoka.

Katika mechi hiyo ya Ligi Kuu England, Arsenal ilishinda kwa bao 1-0 lililofungwa na Danny Welbeck.

Utaona katika mechi yao dhidi ya Norwich City leo, kuanzia anaingia uwanjani. Mashabiki wakiwa nje walionyesha ujumbe kuwa wamemchoka.


Kama haimchoki, wakati mechi inaendelea, mashabiki waliendelea kumsakama kwa kuonyesha ujumbe unaosisitoza kwamba wamechoka ende zake. WEhhh!


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic