Kikosi cha timu ya taifa ya chini ya miaka 17, Serengeti Boys kiliwakomalia Marekani na kupata sare ya bao 1-1 katika michuano ya vijana inayoendelea nchini India.
Haikuwa kazi rahisi, sasa ni mechi dhidi ya wenyeji India mechi itakayopigwa leo, halafu Korea Kusini. Angalia picha vijana wetu walivyojitahidi.
0 COMMENTS:
Post a Comment