July 6, 2016


Pamoja na kwamba inawakosa baadhi ya wachezaji wake wanaoshiriki michuano ya Euro Arsenal imeanza maandalizi ya Ligi Kuu England.

Walio katika michuano ya Euro baada ya timu zap kufuzu hatua ya nusu fainali ni Aaron Ramsey, Mesut Ozil, Olivier Giroud na Laurent Koscielny.

Lakini wengine wameanza maandalizi ya msimu mpya chino ya Kocha Arsene Wenger.










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic