July 12, 2016


Siku chache baada ya Ujerumani kukosa ubingwa wa Ulaya kwa kufungwa na Ufaransa katika nusu fainali, kiungo wake mkongwe Bastian Schweinsteiger, amefunga ndoa.

 Schweinsteiger ambaye anakipiga Manchester United, amefunga  ndoa ya Ana Ivanovic leo. Mcheza tenisi huyo ni mpenzi wake ambaye wamekuwa kwenye uhusiano tokea mwaka 2014.

CHEKI MAPICHAAAZZZ.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic