October 28, 2016


Huku Kocha Mkuu, Hans van der Pluijm kuamua kuendelea kuinoa Yanga baada ya kuangukiwa, Kocha Msaidizi Juma Mwambusi ameendelea kuifua Yanga, leo jioni.
Yanga imefanya mazoezi kwenye Uwanja wa Uhuru kujiandaa na mechi ya keshokutwa dhidi ya Mbao FC kwenye uwanja huu.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic