December 12, 2016

SIMBA

Simba imechapwa kwa mabao 2-1 katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.


Hiki ndiyo kikosi ambacho kimekubali kipigo huku kipa Daniel Agyei akikaribishwa Tanzania kwa kutandikwa mabao mawili katika mechi hiyo.

Simba ilikuwa na nafasi ya kusawazisha katika mechi hiyo lakini beki, Janvier Bokungu akakosa penalti.

MTIBWA SUGAR

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic