January 18, 2017

Uganda imeanza vibaya michuano ya Afcon baada ya kuchapwa kwa bao 1-0 na Ghana.

Nahodha wa Ghana, Andre Ayew ndiye alikuwa shujaa baada ya kufunga penalti hiyo katika kipindi cha pili.


Mechi hiyo ya Kundi D ilikuwa ngumu na Uganda walionyesha juhudi kubwa lakini mwisho hawakufanikiwa. 



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic