February 19, 2017



  • Michuano ya Kombe la FA imetinga hatua ya robo fainali au raundi ya 6 na sasa vigogo Manchester United watakutana na Chelsea katika hatua hiyo.

Man United ambao wamewang’oa Blackburn kwa kuwachapa mabao 2-1, wanakutana na Chelsea katika mechi zitakazopigwa kati ya Machi 10 hadi 13.

Arsenal wanaonekana kupata mchekea kwa kuwa wakiishinda Sutton wanakutana na Lincoln City huku Tottenham walioishindilia Fulham kwa mabao 3-0 yote yakifungwa na Harry Kane, wakiwa wamepangiwa kucheza na Millwall.
  • RATIBA
  • Chelsea v Manchester United
  • Middlesbrough v Huddersfield or Man City
  • Tottenham v Millwall
  • Sutton or Arsenal v Lincoln City


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic