April 23, 2017


Dalili zote sasa kwamba kipa, David De Gea wa man United atarejea Hispania na kujiunga na vigogo, Real Madrid.

Hii inatokana na uamuzi wa kips huyo aliyejiunga na Man United mwaka 2011 akitokea Atletico Madrid kuliweka sokoni jumba lake la kifahari analoishi.

De Gea ametangaza kuliuza jumba hilo lenye thamani ya pauni million 3.85.

Kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa, Madrid imekuwa ikipambana kumpata De Gea ambaye anaonekana ndiye kipa tegemeo wa timu ya taifa ya Hispania.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic