April 2, 2017


Kiungo Mzambia, Justine Zulu alilazimika kutoka nje na nafarsi yake kuchukuliwa na Emmanuel Martin baada ya kukumbana na kiatu cha nahodha wa Azam FC, Himid Mao.

Yanga imeitwanga Azam FC kwa bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Awali ilionekana kama mzaha, lakini Zulu ameshonwa zaidi ya nyuzi tatu na imeelezwa huenda itachukua kuanzia wiki mbili hadi mwezi kwake kurejea tena uwanjani.

Hata hivyo, mmoja wa wauguzi waliomchukua kumtoa nje, amesema inawezekana akapona haraka.

Zulu alipiga shuti na Himid akaingiza mguu, iinaonekana kiatu ndiyo kilichomjeruhi.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic