April 2, 2017


Yanga imeitwanga Azam FC kwa bao 1-0, bao lililofungwa na Mzambia, Obrey Chirwa katika dakika ya 70.

Ilikuwa moja ya mechi bora za Ligi Kuu Bara kutokana na ushindani mkali. Angalia matukio mbalimbali katika picha.









1 COMMENTS:

  1. Kwa game ya jana nimemuona frank domayo ni bonge la mchezaji,akimentain coestance yake,nafikiri mayanga anapaswa kuongeza national team

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic