April 30, 2017


Simba imetinga fainali baada ya kuitwanga Azam FC katika mechi ya Kombe la Shirikisho hatua ya nusu fainali jana.

Simba ilishinda kwa bao 1-0 katika mechi iliyotawaliwa na mvua kubwa.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic