May 13, 2017

 


Chelsea wamefunga Wes Brom kwa bao 1-0 na kujihakikishia kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England licha ya kubaki na mechi mbili mkonon.

Furaha ya wachezaji wa Chelsea ilianzia uwanjani hadi vyumbani na mshambuliaji nyota wa Chelsea, Diego Costa yeye alijiachia kabisa kwa kubaki na nguo ya ndani.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic