February 7, 2021

 


FT: Simba 2-2 Azam FC
NGOMA imekamilika Uwanja wa Mkapa leo Februari 7 kwa Simba kugawana pointi mojamoja na wapinzani wao Azam FC.


Dakika 90 zimekamilika 
Zinaongezwa dakika 2
Luis anatoka anaingia Mzamiru dakika ya 86
Dakika ya 78 Luis goal
Dakika ya 76 Lyanga Goal anapachika bao la pili
Dakika ya 73 Lwanga anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 67 Goal, Idd Naldo, nje ya 18.
Dakika ya 62, Yahya anaingia anatoka Niyonzima 
Dakika ya 57 Dube anapewa huduma ya Kwanza aligongwa na mpira uliopigwa na Luis
Dakika ya 55 Luis anapeleka mashambulizi 
Dakika ya 54 Chikwende of target
Dakika ya 51 Sure Boy anapiga shuti linaokolewa na Manula
Dakika ya 48 Lyanga of target 
Dakika ya 46 Chikwende anachezewa faulo 
Kipindi cha pili

Kipindi cha Kwanza

Mapumziko 

Simba 1-0 Azam FC

Uwanja wa Mkapa

Zinaongezwa dakika 3

Dakika ya 44 Lwanga anaonyeshwa kadi ya njano 

Dakika ya 43 Luis anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 39 Kapombe anapewa huduma ya Kwanza 

Dakika ya 38, Chama anapiga penalti,  Kigonya anaokoa

Dakika ya 37 Simba wanapata penalti imesababishwa na Luis

Goal Simba, Kagere dk 27

Dakika ya 24, Kigonya anapewa huduma ya kwanza

Dakika ya 20, Kigonya anaokoa hatari ya Luis Miquissone 

Dakika ya 16 Sure Boy njano 

Dakika ya 15 Morris anapiga faulo haizai matunda

Dakika ya 14 Chama anaotea

Dakika ya 13 Kigonya anaanzisha mashambulizi 

Dakika ya 12 Lyanga anafanya jaribio linakwenda nje ya 18

Dakika ya 8 Tshabalala on target

Dakika ya 6 Chama aliotea


19 COMMENTS:

  1. Ushindi muhimu leo mnyama

    ReplyDelete
  2. Wajilaumu wenyewe Simba kwa fursa nyingi walizopata pamoja na kukosa peneti na huku Simba ndio walimiliki kila kitu

    ReplyDelete
  3. Kiporo karibu kichache asilimia 100.. hehehe..mikia aka paka mweusi

    ReplyDelete
  4. Kiporo kime chacha

    ReplyDelete
  5. Hapo ni azamu hivyo, je AS VITA, je, Al ahaly? Habari ya goli tano inakuja tena

    ReplyDelete
  6. Kidimbwi FC siku zote wao wanaota ndoto kwani hao Al Ahly sijui As Vita hawajawahi kufungwa na Simba, msije kusema Simba imewanunua wachezaji wa As Vita maana nyie mnajua Mpira ni kushinda siku zote Ila Simba ni timu ya Mpira kutoka sare na Azam ni sehemu ya mchezo tusije tukasikia mbele huko kwamba TFF ni simba

    ReplyDelete
  7. Mbona jana utopolo kachezea kidude kutoka timu ya mchangani?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mmetapika point 2...

      Delete
    2. Tafuta historia ya African Sports ndo utajua kama ni timu ya mchangani au la.

      Delete
  8. Kocha Matola ajitahidi kumsaidia Didier Gommes kuelewa ubora wa kila mchezaji na nafasi na majukumu anayomudu akiwa uwanjani. Naye Gommes atazame video za michezo simba iliyocheza kwa ubora mkubwa e.g. dhidi ya platinum. Mbinu alizotumia Sven zilimbeba sana. Clatous wachezaji warudishiwe majukumu waliyokuwa wamepewa na Sven angalau ktk muda huu mfupi wa kucheza kimataifa

    ReplyDelete
  9. Ahahaha, Bongo Team ikifungwa kila mshabiki anakuwa coach...

    ReplyDelete
  10. Hahahaaaa nyau na kipolo kilicho oza ulimi nje

    ReplyDelete
  11. Hahahaaaa nyau na kipolo kilicho oza ulimi nje

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic