May 1, 2017




TAKWIMU ZA NAMBA:
Barcelona wameshinda mfululizo mechi zao tatu zilizopita
Real Madrid wamshinda mechi zao zote 6 za mwisho ugenini
Atletico Madrid wamecheza mechi tisa mfululizo bila ya kupoteza hata moja
Madrid wameruhusu bao katika kila mechi kwa zote kumi zilizopita
 Real Madrid wamefungwa bao katika mechi 10 zilizopita za ugenini
Sevilla hawajapoteza mechi kwa 11 zilizopita mfululizo
Barcelona hawajapoteza mchezo kwa mechi 15 mfululizo
Sevilla wamefunga mabao katika mechi zao


TAKWIMU ZA ASILIMIA:
Granada wamepoteza nafasi ya kushinda mechi zao 5 za nyumbani
85% za pointi za La Palmas zimepatikana katika mechi za nyumbani
Real Betis wamepoteza mechi zao za ugenini kwa 71%

Real madrid wameshinda mechi zao za ugenini kwa 75%
66% ya mabao waliyofungwa Villarreal, wamefungiwa nyumbani
Real Betis wamepoteza 71% ya mechi ya zao zote za nyumbani
59% ya mechi za nyumbani za Sporting Gijon ni kupoteza
Atletico Madrid wamefunga mabao katika mechi zao zote sita mfululizo
Barcelona wameshinda 71% ya mechi zao za La Liga
Barcelona wamefunga mabao kwa 94% kwa mechi zao zote

Real Madrid wamefunga mabao katika mechi zap za nyumbani kwa 100%

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic