June 20, 2017



Ally Mayay anayewania Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), amerejesha fomu.

Nahodha huyo wa zamani wa Yanga amerejesha fomu leo baada ya kuwa amechukua hiyo jana.



Pamoja na Mayay, mkongwe Mtemi Ramadhani naye amerejesha fomu ya kuwania nafasi ya umakamu wa TFF.

Mtemi, mmoja wa washambulizi hatari wa Simba enzi zake, aliambatana na Mayay kurejesha fomu hizo kama ambavyo walifanya jana wakati wakienda kuchukua fomu hizo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic