June 15, 2017



Simba imemsajili kiungo kiraka wa Mtibwa Sugar, Ally Shomari.


Miaka miwili ndiyo mkataba wake na Simba ambayo imeonekana kupania kuimarisha kikosi chake msimu huu.

Shomari ana uwezo wa kucheza namba mbili, saba, sita kama kiungo mkabaji lakini nane. Pia anaweza kucheza 11 au 10.


Kiungo huyo ni kati ya wale waliofanya vizuri na Mtibwa Sugar msimu uliopita.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic