July 4, 2017


Everton inayodhaminiwa na SportPesa imeonyesha imepania kujiimarisha msimu ujao baada ya kumwaga pauni million 30 kumnasa beki kisiki Michael Keane kwa mkataba wa miaka mitano.

Keane alikuwa kisiki katika kikosi cha Burnley na klabu kadhaa kubwa zilionekana kumtolea “mimacho” lakini Everton imefanya kweli mapemaa.

Maana yake, Keane atakuwa kati ya wachezaji watakaotua nchini na kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Gor Mahia Alhamisi ya Julai 13 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.






1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic