July 16, 2017




Kikosi cha Simba sasa imethibitika kuwa kitaweka kambi nchini Afrika Kusini.

Simba itaweka kambi nchini humo kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa.


Taarifa zinaeleza baada ya maelezo ya jijini Dar es Salaam, Simba itaondoka Jumatatu ijayo kwenda Afrika Kusini.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic