July 27, 2017



Papy Kabamba Tshishimbi amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga.


Kiungo huyo mkabaji raia wa DR Congo, amesaini mkataba huo leo baada ya kufuzu vipimo jana jijini Dar es Salaam.

Kabla ya kutua Yanga, Tshishimbi alikuwa akikipiga katika kikosi cha Mbambane Swallows cha nchini Swaziland.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic