August 30, 2017



Arsenal sasa iko tayari kumuachia Alexis Sanchez aende Manchester City.

Lakini sharti lake ni kulipwa pauni milioni 70 na mshambuliaji Raheem Sterling.

Awali, Man City ilikuwa kutoa pauni milioni 50 na Sterling. Lakini Kocha Arsenal Wenger akasema watoe fedha hizo pamoja na mshambuliaji Kun Aguero, Man City nao hawakukubaliana nalo.


Hata hivyo kinachoonekana baada ya muda klabu hizo zitaelewana kabla ya dirisha kufungwa kesho saa sita usiku.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic