August 17, 2017



Real Madrid imeendelea kutawala katika duniani baada ya kuingiza wachezaji saba kati ya 24 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).

Kutoka Real Madrid, wachezaji waliongia kwenye tuzo bora ya mchezaji bora Fifa ni 
Cristiano Ronaldo, Dani Carvajal, Toni Kroos, Luka Modric, Keylor Navas na Sergio Ramos.


Hiyo inaifanya Madrid kuwa timu iliyoingiza watu wengi zaidi katika listi hiyo.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic