
Wageni wakipata chakula ndani ya hoteli hiyo.

Sugu ndani ya hoteli a familia yake.

Chakula.
Wakati wa uzinduzi, nyumba hoteli hiyo ilibarikiwa na Padri na kunyunyiziwa maji ya baraka kabla ya kuanza kufanya kazi.

Wapishi wakiandaa chakula.

Mbunge Joseph Mbilinyi akiwa na Padri akinyunyiza maji ya baraka kabla ya hoteli hiyo kuanza kufanya kazi

Lango la kuingia kwenye hoteli hiyo.

Ndani ya hoteli hilo.

Room ya chakula.

Hoteli hiyo kwa nje.











0 COMMENTS:
Post a Comment