Dani Ceballos ambaye ni kinda tu, amepiga bao mbili na kuiwezesha Real Madrid angalau kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Alaves waliokuwa nyumbani.
Mwendo wa Madrid umekuwa wa kusua katika La Liga lakini mabao hayo ya Ceballos yameibeba kwa kuwa hata staa wao, Cristiano Ronaldo alionekana hana nafasi ya kuwa “mwokozi”.
0 COMMENTS:
Post a Comment