September 5, 2017


Kiungo mpya wa Chelsea, Danny Drinkwater ameanza kazi rasmi.

Drinkwater amesajiliwa na Chelsea kutoka Leicester City na tayari ameanza mazoezi na kikosi hicho.

Pamoja na kuwepo na michuano ya kimataifa, wachezaji ambao hawajaitwa katika timu za taifa wameendelea kujifua chini ya Kocha Antonio Conte.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic