Baada ya safe ya bao 0-0 dhidi ya Manchester United, kikosi cha Liverpool limetua nchini Slovenia kuwabaa Maribor katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, kesho.
Liverpool ambao walikuwa nyumbani, walionyesha soka safi lakini wakashindwa kuibuka na ushindi.
0 COMMENTS:
Post a Comment