Iceland wamefanikiwa kufuzu kucheza Kombe la Dunia mwakani nchini Russia.
Iceland imekuwa ndiyo nchi ndogo zaidi kufuzu Kombe la Dunia.
Wamefanikiwa kufuzu baada ya kuitwanga Kosovo kwa mabao 2-0 baada ya mabao ya Gylfi Sigurdsson na Johann Gudmundsson.
Iceland ina idadi ya wakazi 350,000 tu wakati kabla nchi yenye watu wachache iliyofuzu ilikuwa ni Trinidad & Tobago ambayo ilifuzu mwaka 2006. Idadi ya wakazi wake ni watu milioni 1.3.
0 COMMENTS:
Post a Comment